Tuesday, 13 September 2016

Alama 7 kwamba mumeo anafurahia ndoa yenu


Je, unataka kujua kama mumeo anaifurahia ndoa yenu? Famasia ya Ndoa Maridhawa imekuandalia orodha hii ili uangalie namna unavyoweza kuamiliana vizuri na mumeo. Kisha usiache kuwa mwenye kushukuru kwa kila jema analolifanya.

Kila mke anataka mumewe afurahie ndoa yao. Zifuatazo ni ishara na alama 7 zinazoonesha kuwa mumeo anafurahia kuwa mwanandoa:

1. BUSU
Anakupokea kwa busu anapoingia nyumbani kutoka kazini. Sio busu na haraka haraka kama mtu anayekimbizwa. Ni busu maridhawa, anakukumbatia, anakubusu kwenye kinywa chako au nyama kwa nyama. Hilo linaonesha kuwa anafurahia tena kuwa pamoja na wewe nyumbani. Hakika hiyo ni ishara ya kwamba anafurahia ndoa yenu. 

2. MAWASILIANO
Mume anapotoka nyumbani kwa ajili ya shughuli zake, anawasiliana nawe kila mara na kukujulisha namna alivyo na shauku nawe. Kwa kawaida mume mwenye furaha kwenye ndoa huwa na shauku na mkewe kila anapokuwa safarini au nje ya nyumbani. Huwa na shauku mno ya kuwa pamoja nawe. Mambo atakayokwambia kwenye simu yataonesha jinsi alivyokukumbuka. Hufanya hivyo kwa dhati ya moyo wake. Daima huwa mwaminifu kwako kwa asilimia zote. Hata wewe unalijua hilo.

3. "NINAKUPENDA"
Hukwambia anakupenda. Hulisema neno hilo kila siku, na wewe humjibu. Neno hilo halichuji midomoni mwenu. Sio kama wanaume ambao wake zao hulalamika baada ya miaka mingi ya ndoa, “Huniambii kama wanipenda”, nao wakajibu, “Nilikwambia tulipooana, na kama mambo yakibadilika nitakwambia.” Hivyo sivyo mume mwenye kufurahia ndoa yake anavyofanya. Atakwambia anakupenda kwa sababu anataka ulijue hilo kila siku. Anapenda kusema hivyo kutoka moyoni mwake. Na anajua kwamba unafurahia na ni muhimu kwako kulisikia neno hilo.

4. ANAKUSAIDIA
Miongoni mwa alama za kuwa anaifurahia ndoa yenu ni kukusaidia mambo ya nyumbani. Anataka kukuangazia njia yako na kushirikiana nawe, kiasi kwamba anaweza kufanya zaidi unapokuwa hujisikii vizuri. Ni mwenza mwenye utashi katika shughuli za kuifanya nyumba yako kuwa sehemu maridhawa. Anatambua kuwa kulea watoto sio kazi yako peke yako, bali ni yake pia; yuko tayari kushirikiana nawe kwa sababu anakupenda na anawapenda pia. Kwa maneno mengine, ni mshiriki hai katika kuyafanya maisha ya nyumbani kuwa yenye furaha kwa familia yake.

5. HUKUSTAAJABIA
Mume mwenye furaha na ndoa yake hukusifu. Hukutazama na kuangalia unachofanya. Huwa makini, na utamuona mara kwa mara akikutazama na kufurahia unachokifanya. Anavutiwa na wewe, na hachoki kukutazama. Huendelea kukuona kuwa u mrembo hata kama mwili wako utabadilika kiasi gani. Haoni kasoro unazoziona. Amekuwa kipofu wa upendo na mahabba.

6. HUKUFARIJI
Hukukumbatia unapolia. Huzuni na mfadhaiko vinapokusibu na kukufanya ulie, hukufariji. Hufanya juhudi kujua tatizo linalokusibu. Daima hukupa faraja katika nyakati ngumu. Kama una busara, utaikaribisha faraja yake na kuipokea. 

7. HUUFUNGUA MOYO WAKE
Hukushirikisha ndoto zake na changamoto zake. Sio rahisi kwake kufanya hivyo kama sio kwa ajili yako. Anahitaji kujua kwamba anaweza kukwambia mambo hayo bila kukusumbua, na kwamba utamuunga mkono na kumfanya ajiamini. Anapokuwa tayari kuunfungua moyo wake na kukwambia mipango na matarajio yake kuhusu shughulizake, anatambua kuwa utasikiliza na kujali. Anatambua kuwa wewe ni shabiki wake namba moja. Anajua pia kwamba upendo wake kwako ni wa dhati na utakufanya uelewe na kutaka kujua kuhusu wasiwasi wake. Mume mwenye furaha katika ndoa yake anaweza kufanya hivyo kwa kujiamini kabisa.

WITO
Wito wangu kwa wanaume wanaosoma somo hili tamu: Iwapo hamfanyi haya, sasa ni wakati wa kuanza kuwafanya wake zenu kuwa vipaumbele vyenu. Hamjachelewa kutengeneza furaha katika ndoa zenu. 

Wito wangu kwa wanawake wanaosoma somo hili, furahieni mazuri yote yanayofanywa na waume zenu. Pia wafanyeni kuwa vipaumbele vyenu, mtakuwa miongoni mwa wanandoa wenye furaha watakaoithibitishia dunia kwamba ndoa na furaha ni mapacha wasiotenganishwa, hata katika nyakati ngumu.

Regular sex may help older women but could KILL their male partners


Research found men aged 57-85 who had sex once a week or more were twice as likely to have a heart attack within five years

Regular sex may help older women by cutting blood pressure - but could kill their male partners.

Men aged 57-85 who had sex once a week or more were twice as likely to have a heart attack within five years than the sexually inactive­, said US researchers.

One reason for a rise in the number of heart problems could be the increased use of viagra and similar stimulants.

But for women aged between 57-85 who enjoyed an active sex life the risk of suffering high blood pressure was lower after five years than women who went without.

The study suggests that the female sex hormone released in orgasm may actually promote women’s heart health.

In the first large-scale study to look at how sex affects heart health researchers analysed data from 2,204 people in the National Social Life, Health and Ageing Project in 2005/6.

The same people were questioned again five years later for the research published in the Journal of Health and Social Behaviour.

Participants were aged 57-85 when the first wave of data was collected in 2005-06; another round of data was collected five years later.

Sociologist Prof Hui Liu Michigan State University, said: “These findings challenge the widely held assumption that sex brings uniform health benefits to everyone.

“Strikingly, we found having sex once a week or more puts older men at a risk for experiencing cardiovascular events that is almost two times greater than older men who are sexually inactive.

“Moreover, older men who found sex with their partner extremely pleasurable or satisfying had higher risk of cardiovascular events than men who did not feel so.”

Prof Liu said the findings suggest the strain and demands from a sexual relationship may be more relevant for men as they get older, become increasingly frail and suffer more sexual problems.

“Because older men have more difficulties reaching orgasm for medical or emotional reasons than do their younger counterparts, they may exert themselves to a greater degree of exhaustion and create more stress on their cardiovascular system in order to achieve climax.”

Testosterone levels and the use of medication to improve sexual function may also play a role.

Prof Liu added: “Although scientific evidence is still rare, it is likely that such sexual medication or supplements have negative effects on older men’s cardiovascular health.”

Ultimately, while moderate amounts of sex may promote health among older men, having sex too frequently or too enjoyably may be a risk factor for cardiovascular problems.

Prof Liu said: “For women, we have good news, good sexual quality may protect older women from cardiovascular risk in later life.”

Previous studies suggest that strong, deep and close relationship is an important source of social and emotional support, which may reduce stress and promote psychological well-being and, in turn, cardiovascular health.

Prof Liu said: “This may be more relevant to women than to men because men in all relationships, regardless of quality, are more likely to receive support from their partner than are women.

“However, only women in good quality relationships may acquire such benefits from their partner.”

Prof Liu said. “Physicians should talk to older male patients about potential risks of high levels of sexual activity and perhaps screen those who frequently have sex for cardiovascular issues.”

Msaada: Najua natembea na changudoa, lakini kumuacha siwezi


Wasalaam wakuu,

Nikama miezi mitatu imepita tokea nilipoanzisha mahusiano na binti mmoja hivi mwenyeji wa mkoani Kilimanjaro.

Ni binti mzuri wa sura, mweupe wa rangi na mwenye macho sahihi ya kike. Uhusiano wangu na binti ulianza pale alipohamia kwenye nyumba ninayoishi mimi akitokea maeneo ya Mji Mwema Kigamboni. Mara ya kwanza kukutanisha macho yetu nilihisi Moyo wangu ukiniambia kitu. Moyo wangu ulizungumza tamaa, tamaa juu ya umbo la mtoto yule wa kichaga. Nikatamani kumpata na kumfanya wangu kwa kipindi kirefu kwa kuwa alikuwa anavutia sana.

Kwa kuwatumia washkaji hasa mtoto wa mwenye nyumba yangu nikafanikiwa kumpata mtoto huyu na kitu ambacho kilinivutia ni pale tulipoongea siku ya kwanza tukiwa wawili akafanikiwa kulitumia dushe langu kama kipaza sauti na kufanikisha kuniliza chozi moja la fasta.

Baada ya tukio hilo mapenzi yakazaliwa huku tukipeana na wakati mwingine akijakuchukuliwa na magari kisha kurudishwa asubuhi. Niliendelea kuvumilia hali ile kwa kuwa nilijiwekea kwamba napiga kwa muda kisha nasepa lakini sasa naona nimedata naye amenasa. Kumuacha nashindwa na yeye kuacha UCHANGUDOA hawezi. Kuna wakati alikuwa akitishia kujiua iwapo angenifumania na kikubwa anasema ameshafanya matukio makubwa ya kucharanga viwembe wanawake wenzie.

Hilo linanitisha na kunisumbua ni kweli ni mzuri, ni kweli ni fundi kiasi chake. Lakini bado ni muuzaji na kibaya zaidi najua kuwa anajiuza. Jana nilijaribu kuongea naye lakini mwisho wa siku akaangukia kwenye kunipa penzi. Nilijikuta nikisahau hata kuendelea kumuuliza. Tuliagana vizuri baada ya mechi na kuniambia kuwa anakwenda kulala, lakini cha ajabu nimeamka asubuhi namuona akishushwa na gari akiwa na mizigo. Moyo unaniuma, nimeamua kumnunia lakini siwezi kwa kuwa nampenda sana.

Nisaidieni jamani nifanyaje?
 
Uncle Ibra Dar

Monday, 12 September 2016

10 Big Problems in a Relationship and How to Fix it


Relationships are one of the first things that all of us take for granted. We don’t want to take it for granted.

But yet, we forget how much something really matters to us when we don’t stand to lose it.

And it usually takes losing something to realize its importance and value.

Problems in a relationship

Depending on the kind of relationship you share with your partner, the problems in a relationship too could be just as unique.

But almost always, all problems in a relationship find their place in ten big areas.

At some point or the other, these problems have a way of creeping into your romance.

Keep an eye on these issues, and understand how to overcome it, and you’ll see how easy it can be to eliminate all the frustrations you experience in a relationship.

10 big problems that need your attention

Remember this, you can’t stop problems from cropping up in a relationship no matter how perfect the relationship is. What you can do instead, is eliminate the frustration as soon as you notice them.

1 Lack of communication. At the start of the relationship, conversations are exciting and fun. Both of you spend a lot of time getting to know each other. But as time goes by, lovers forget to ask the same questions again.

We’re all changing all the time, in our preferences and the way we look at life. Don’t assume you know everything about each other or your romance will start to stagnate, or one of you will start to confide in some other person who seems more understanding. 

2 Trust. Do you really trust your partner? There are two kinds of trust in a relationship. Firstly, do you trust your partner enough to feel comfortable with them going out for dinner with someone else? If you don’t, perhaps, you’re insecure or your relationship is still too fragile.

And secondly, do you trust your partner’s decisions? Do you think your partner is capable of making important decisions for the both of you? If you can’t trust your partner with life altering decisions, it’s obvious that you don’t respect your partner or their opinions. And that’s never a good sign in a long term relationship.

3 Jealousy and insecurity. Insecure couples are forever locked in a cycle of jealously and anger. When you feel jealous about the attention your lover’s getting or their recent promotion, you’re not helping them become a better individual. It’s like a parent who’s angry with their child because the child is having “too much fun”.

You need to learn to have faith in each other and in the relationship. Instead of letting negativity build inside the relationship, learn to enjoy each other’s successes. After all, your partner is your better half, and any accomplishments of theirs are your accomplishments too, isn’t it?

4 Incompatibility in love. Love at first sight and infatuation can last several months. And it does a good job of masking any differences in a relationship. As perfect as two people may be, sometimes, they may just not be perfect for each other.

If you find yourself dating someone with whom you have nothing in common, you need to decide on the next step. Try to find common interests that both of you like, or walk your own paths instead of living in frustrations. 

5 Loss of sex drive. This isn’t rocket science. Over time, both of you are bound to lose the sexual urge of the first few months or years of a relationship. While both of you may have a hard time keeping your hands off each other to begin with, now sex may start to feel like a chore.

This is a very common problem in relationships, and yet, it’s one of the easy ones to solve. Always look for new ways to recreate the sexual high of the first few times, and before you know it, both of you may go at it all over again like frisky bunnies. 

6 Ka ching! Anyone in a relationship for long enough will know just how important money or the lack of it really is. If your friends earn a lot more than you or your partner, it’ll end up frustrating both of you. And on the other hand, if both of you earn a lot more than your friends, there’ll be a lot of love and happiness in your lives.

It’s a stupid fact of life. But our own happiness is extremely dependent on the way others perceive us. If you’re having difficulties in your relationship because of money, perhaps it’s time to change your friends and see the difference. 

7 Change in priorities. You may be in a relationship, but that doesn’t change who you are. And that’s where the problem starts. As individuals, we evolve and change all the time. You’re not the person you were last year, and you won’t be the person you are now next year.

And just like you, your partner too is changing constantly. And every now and then, you and your partner may experience changes that will pull both of you apart from each other. And soon enough, both of you may have nothing in common. Spend enough time with each other and try to evolve together in a similar direction. Talk about your beliefs and your interests with each other and it’ll help both of you grow together along the same path. 

8 Time. Do both of you have enough time to spend with each other? These days, time is a luxury that most lovers can’t afford. When you start spending too much time away from each other, it’s only a matter of time before one of you starts asking the big question, “Do I need my partner in my life anymore?”

Don’t drift away so far that both of you don’t need to be with each other anymore. Find ways to indulge in exciting hobbies or spend evenings going out on little coffee or ice cream dates. They make for great conversations and it’ll bring both of you closer too.

9 Space and individual growth. Now this is contradictory to the earlier problem in relationships. But it’s still something to watch out for. Too much of a good thing can turn out to be bad too. When you’re in a relationship, spending time with each other is very important. But at the same time, spending time away from each other is crucial too.

By spending too much time together, you’d subconsciously feel isolated from the rest of the world. And when that happens, you’d crave for any attention from other interesting people just to feel better about yourself and your ability to communicate. And you know what could happen when that happens, right?  

10 Are you still in love? This is the biggest problem in a relationship, and one that’s hardest to overcome. Falling in love is easy. Staying in love isn’t. Love is a delicate balance between dependency and passion. How much do you need your partner? How much do you love and want your partner? [Read: Real signs that reveal if you’re not in love anymore]

When the sexual excitement and the enthusiasm fade away, what do you have to hold both of you together? A relationship should never be based on sex alone. It needs compatibility and understanding, and it definitely needs dependability. Staying in love forever is not easy, but with a little effort, it can give meaning to your life. 

Problems in a relationship can come and go. But if you ever come face to face with these 10 big problems in romance, don’t overlook it. It could cost you the relationship itself.

Wanandoa kutumia tendo la ndoa kama silaha ni ujinga.


Kuna wanandoa wanaishi maisha ya ajabu sana mathalani unaweza ukamkuta Mwanamke anatumia tendo la ndoa kama sehemu ya kujihami na kufikishia hisia zake kwa mumewe Mara kwa Mara na kuna wakati anaamua hata kumnyima mwenzi wake anapohitaji ili mradi tu aweze kufikisha hoja take mezani.

Hii ni kwa pande zote lakini upande wa Dada zetu ukifuatilia utagundua kuna tofauti.

Kufanya hivyo ni utoto wa tafakuri na kujiharibia taratibu,ni kama kujilipua mwenyewe.

Unamkuta MTU hakuambii chochote ila mkiwa kwenye burudani anakuibulia hoja ya ajabu inayofikia hatua ya kuharibu kabisa mkururo wa hisia za raha Kiswahili cha mitaani wanasema "anakukata stimu"huu ni ujinga mkubwa sana kama ukiendelezwa ni rahisi sana wanandoa kuchokana na kutofurahia tendon la ndoa ambalo ni zawadi yao wote.

Tubadilike zama zimebadilika sana.

Need help : My boyfriend’s mum is too close to his ex partners and it's causing problems

  • My partner's mum is friends with women he dated years ago, but he wants his past to stay in the past. And one of these women wouldn’t stop pestering us


Dear Aunt,

My boyfriend and his mum fell out recently when I was away with work. It was over the fact that she is still friends with women he dated years ago but he wants his past to stay in the past.

The argument was triggered when one of these women wouldn’t stop pestering us.

His mum threw him out of her house (swearing in the process), so I had to call my mother while I was abroad to ask if he could stay at ours as he had nowhere else to go. He’s been living with us for almost two months now.

Every time he has been back to his mum’s to pick up his things she has argued with him and won’t allow him to resolve the situation.

We then went over there together when no one was in to pick up his TV and he saw messages between his mother and her partner saying they think it’s all my fault!

Apparently, I’m “pulling the strings” when all I’ve done is tell my partner to try and calmly resolve the situation.

Since then, my partner has found out via someone else that she’s been talking about me behind my back to the mother of the girl who was pestering us.

Not once has she approached me and spoken to me since their fall out two months ago.

My partner insists she owes us both an apology and says he wants nothing more to do with her.

I feel very angry that she didn’t have the decency to speak to me in the first place and that she could say such hurtful things about me when we’ve always got along so well. I’m not a spiteful person. Where do I go from here?

Coleen says
Why don’t you go round and talk to her on your own? When she opens the door, just say, “Any chance we can clear the air and move forward?”

Tell her you felt hurt and confused because you thought you got on well, but you’ve heard she thinks the situation is all your fault.

And make sure she knows you’re the one encouraging her son to resolve it. Then if it’s not sorted out, at least you know you’ve tried your best.

I don’t know his mum’s reasons – maybe she’s a bit jealous of you because her son is so wrapped up in your relationship.

The whole staying friends with someone’s ex is a tough one. Break-ups don’t just affect the couple – they can also affect groups of friends and your family, many of whom don’t want to split with your partner even if you have!

I’ve got on great with some of my sons’ previous girlfriends but, as a mum, you do have to think about how your relationship with an ex will affect your child’s current partner.

Finally, don’t listen to other people gossiping – zone that out. If you and your boyfriend are happy, who cares?

Yes, it’s a shame his mum has thrown her toys out of the pram but, if you can’t resolve it, the only thing to do is walk away and wait for her to come round.

Hopefully, once she’s had a chance to calm down and think things through, she’ll realise it’s not worth losing her son over.

Dalili za mwanamke anayekupenda, ila hawezi kukuambia


Kumekuwa na imani potofu kwa wanawake kwamba hawawezi kumwambia ukweli mwanaume anampenda kwanza mpaka mwanaume aanze lakini ukweli usiopingika ni kwamba wao pia hupendi na mara nyingi wao wakianza kupenda hupenda kweli kufikia stage hata ya kuhisi kuumwa. Hizi ni dalili za mwanamke anaekupenda ila anagoma kukwambia tu.

1. KUKUTEGA ILIKUJUA THAMANI YAKE KWAKO
Hufanya mambo ambayo yatamfanya kuona kama unampenda na kumthamini au la mfano wa mambo hayo ni kama kujifanya anaumwa na kauangalia respond yako kwake ni kiasi gani unamjali na kiasi gani utahangaika kwa ajili yake.

2.HUWA ANAPENDA KUKUGUSA SEHEMU YAKO YA MWILI.
Haoni aibu kugusa sehemu ya mwili wako. Msichana anayependa haoni aibu kukushika mkono ama kukutomasa au hata kukumbatia.Kwa kufanya hivyo hujua kuwa kwa asilimia kubwa hisia za kushikana kwenu kutamrahishishia kazi ya kuwa na wewe.

3. KUPENDA KUCHEKA TENA MUDA MWINGINE KWA NGUVU
Kucheka kwa nguvu hata kwa kitu kisicho chekesha endapo wewe umezungumza. Mara nyingi ataonesha uso wa furaha hata kama si furaha ya kweli.

4. WIVU
Hujisikia wivu anapokuona na wasichana wengine. Ukiwa unachart nao na ukiwaita majina ya kimahaba. Hapendi na hupenda yale afanyiwe yeye tu hata kama sio mpenzi wako.

5.HUKUMBUKA MATUKIO MUHIMU YOTE KUHUSU WEWE
Anakumbuka siku zako muhimu. Hukumbuka kama vile siku yako ya kuzaliwa hatoweza kuisahau kufanya ipite bila kukutakia heri ya siku ya kuzaliwa kama sivyo ukifauli mtihani au chochote katika maisha yako atakuwa mbele kukupongeza.

6. HUPENDA KUANGALIANANA WEWE MUDA MWINGI
Eye contact hupendelea sana kukuangalia machon muda wote ambao mtakuwa mkizungumza pamoja akidhani kuwa utamuelewa ni kiasi gani anakupenda kupitia vile anavyokuangalia. Ila wengine huona aibu kuwatazama wavulana wanaowapenda hivyo huweka jicho la wizi na kukuvizia.

7. HUPENDA KUKAA NA WEWE MUDA MWINGI NA KUKUJUA ZAIDI
Hupenda kukaa muda mwingi na wewe. Hawezi kupoteza hata sekunde ukimuhitaji kwa mazungumzo. Anajisikia furaha kukaa na wewe muda mrefu bila kuchoka. Anaweza akaacha kila kitu anachokifanya ili ajumuike na wewe na akikaa na wewe hupendelea sana mwanzoni kukujua wewe zaidi na hukujengea mazingira ya wewe uwemuwazi ili umwambie mengi kuhusu wewe na pia akiwa na wewe atakuwa muwazi zaidi hadi mavazi aliyovaa hupenda sana kujua yako na kukuambia yake na hupenda kujua ni mavazi gani yeye akivaa anakuvutia zaidi na atajitahidi kuwa anavaa ya style hiyo kukufurahisha.

8.YUPO TAYARI KUANGAMIZA
Kama msichana anakupenda yupo tayari kusacrifice. Ni kitu ambacho hakuna mtu ambaye anaweza akafanya kwa mtu mwingine. Utamuona vipi huyo msichana alivyo kwako na kwa wengine. Yaani yupo tayari akose lakini wewe upate na kwa mwingine anaweza akamwambia hana alichoombwa lakini akakupa wewe kama pesa na vitu vingine.

9. HUPENDA KUTATUA  MIKWARUZANO YENU KWA AMANI
Mikwaruzano ikitokea katika urafiki wenu hayupo tayari kukupoteza kabla hajakwambia nakupenda.Kwa kuwa anakupenda endapo ikitokea mikwaruzano basi atafanya juu chini kuyaweka mambo sawa ili asikukose.

10. HUPENDA KUKUNUNULIA ZAWADI ZA MITEGO
Mwanamke anaekupenda hupenda kujua mengi sana kuhusu wewe na hapo inamsaiia kukununulia zawadi za mitego kama boxer , na mara nyingi hupenda rangi nyeupe, au kukununulia perfume , sabuni ya kuoge ya manukato,soksi, vest, bukta, saa,raba, t-shirt. Na kama mkitoka wote mkaenda shopping ataakutega kwa kukuonyesha vitu na wewe ukionekana umependa kitu hatonunua siku hiyo ila atanunua siku inayofuata na kukuletea kama suprise.

11. KUPENDA MLE WOTE
Mwanamke anaekupenda ili akujue zaidi hupendelea msosi mle sehemu mmoja na kama ikitokea mwanaume hawezi kuhama sehemu anayokula mwanamke yupo radhi kubadili na kumfuata mwanaume hatakama sehemu hiyo yeye haipendi na kama unakula kwako basi atakutega na kuja kupika kwako ili mle na atakuwa anapenda kununua vitu vya kupika ili tu akutekena uone upendo wake.

NB: Kuwa makini, sio kila mwanamke atakaye onesha dalili hizi anakupenda kwa dhati, wengine hutaka kukuweka mtu kati ili akugagadue mpunga wako tuuu a.k.a gold digger.

Uncle B wa JF

What is Love?



1. A strong feeling of affection.
"babies fill parents with intense feelings of love"
synonyms: deep affection, fondness, tenderness, warmth, intimacy, attachment, endearment; devotion, adoration, doting, idolization, worship; passion, ardour, desire, lust, yearning, infatuation, adulation, besottedness

"his friendship with Helen grew into love"
compassion, care, caring, regard, solicitude, concern, warmth, friendliness, friendship, kindness, charity, goodwill, sympathy, kindliness, altruism, philanthropy, unselfishness, benevolence, brotherliness, sisterliness, fellow feeling, humanity

"their love for their fellow human beings" 
relationship, love affair, affair, romance, liaison, affair of the heart, intrigue, amour
"he is confident that their love can survive"

2. A  great interest and pleasure in something.
"his love for football"
synonyms: liking, weakness, partiality, bent, leaning, proclivity, inclination, disposition; enjoyment, appreciation, soft spot, taste, delight, relish, passion, zeal, appetite, zest, enthusiasm, keenness, predilection, penchant, fondness
"her love of fashion"
verb

3. Feel deep affection or sexual love for (someone).
"do you love me?"
synonyms: be in love with, be infatuated with, be smitten with, be besotted with, be passionate about; care very much for, feel deep affection for, hold very dear, adore, think the world of, be devoted to, dote on, cherish, worship, idolize, treasure, prize; informalbe mad/crazy/nuts/wild/potty about, have a pash on, carry a torch for..... "I love you, Rory"